Hadithi hii ni hadithi iliyo hadithi kuu zaidi. Ni hadithi ya upendo na pia janga, vyote vikiwa vimefungamanishwa pamoja. Hadithi hii ni yangu na ni yako pia , vile vile hadithi itokayo kwa Mungu.
Mungu ameshaatenda mengi kwa upendo wake mkuu lakini ni wewe mwenyewe uamue kama utaishi kwa furaha milele.
Kusoma zaidi:
Datum: 25.05.2015